WAZIRI MWIGULU ALITOLEA UFAFANUZI SUALA LA TOZO
Na Barnabas Kisengi-Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Mwigulu Nchemba amesema suala la kodi ya tozo halita hairishwa kwani zoezi hilo limekuja kuunganisha nguvu kutekeleza mahitaji ya lazima ambayo yalikuwa pengine yanakosa bajeti. Pia Serikali imewataka wananchi kuwa watulivu juu ya suala la tozo huku ikiwawashukuru wananchi hao kwa kutoa maoni yao ya suala
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed